Ijue maana ya jina lako na mengine au jina la mji kutoka katika Biblia
A
Abramu = Baba aliyeinuliwa
Adamu = Mwanadamu. Wanadamu. Mwekundu
Agabo = Kupenda
Agagi = Mwenye fitina
Agripa = Farasi mwitu
Ahabu = Ndugu ya baba
Ahasuero = Mtawala. Mfalme
Ai = Maporomoko
Akani = Ajali. Msababishji wa ajali
Akila = Tai
Amori = Wa-mlima
Amosi = Aliyesumbuliwa. Mbeba mzigo. Mwenye nguvu.
Anania = Yehova ni mwenye neema
Anasi = Mungu ni wahuruma
Andrea = Mwanamume
Apolo = Miungu wa Waapolonia
Areopago = Vilima vya (mungu) Aresi
Arkipo = Mtawala wa farasi
Asa = Daktari. Mponyaji
Asafu = Mkusanyaji
Asheri = Heri. Mwenye heri
Athene = Mji wa (mungu) Athene
Augusto = Anayestahili sifa
Ayubu = Anayechukiwa. Mwenyekutubu
B
Babeli = Anayeingiza kwenye vurugu. Mvurugaji
Balaamu = Mgeni
Balaki = Mwangamizaji
Barnaba = Kijana wa faraja
Bartholomayo = Mwana wa Talmai
Bartimayo = Mwana wa Timayo
Bath-sheba = Binti wa kiapo. Binti wa saba
Beelzebuli = Bwana wa inzi
Beer-sheba = Kisima ya kiapo. Kisima ya saba
Belshaza = Mfalme alindwa (mungu) Beel
Belteshaza = Beel (mungu) alinda uhai wake
Benyamini = Mwana wa furaha (yaani mwana wa mkono wa kulia)
Bethania = Kijiji cha maskini
Betheli = Nyumba ya Mungu
Bethfage = Sehemu ya kutunza mizabibu mabichi
Bethsaida = Eneo la kuvua samaki
Bethzatha = Nyumba ya upole
Betlehemu = Nyumba ya mikate
Boanerge = Wana wa ngurumo
Bonde la Akori = Ajali
D
Dani = Hakimu
Danieli = Mungu ni hakimu wangu
Dario = Mtawala. Anayechipusha
Daudi = Anayependwa
Debora = Nyuki
Dekapoli = Mji wa kumi
Delila = Anayependa kujipendekeza
Dema = Mwanaume wa watu
E
Eben-ezeri = Jiwe la msaada
Edeni = Uzuri
Edomu = Nyekundu
Efeso = Anayetamaniwa. Anayetakwa
Efraimu = Tunda lenye sehemu mbili. Mwenye matunda
Eli = Mungu wangu
Elimeleki = Mungu ni mfalme
Elimu = Miti ya mitende. Mikaratusi
Elisabeti = Mungu wa kiapo. Mungu ni kiapo
Elisha = Mungu ni wokovu
Eliya = Yehova ni Mungu
Emau = Vizima moto
Epafra = Kwa mungu jike wa Afrodite
Erasto = Anayependwa
Esau = Mwenye nywele
Esta = Nyota. Mungu wa kike
Ezekieli = Mungu ni mwenye nguvu. Mungu anatia nguvu
Ezra = Msaada
F
Farao = Nyumba kubwa
Feliki = Mwenye furaha
Festo = Mwenye sherehe
Filadelfia = Upendo wa ndugu
Filemoni = Mwenye upendo. Mkarimu
Filipo = Rafiki wa farasi. Anayependa farasi
Filisti = Kutoka
Foinike = Nchi ya mitende
G
Gabrieli = Mtu wa Mungu
Gadi = Furaha. Bahati
Galilaya = Eneo. Sehemu
Gamalieli = Zawadi ya Mungu. Mungu anatoa thawabu
Gathi = Kinu ya kukamulia zabibu
Gaza = Nguvu. Ushujaa
Gehazi = Bonde la maono
Genesareti = Bustani za watawala
Gershoni = Aliyefukuzwa. Mgeni
Gethsemane = Chombo cha kukamulia mafuta
Gideoni = Anayepiga hadi kufa.
Gileadi = Nguvu. Ngumu
Gilgali = Duara
Golgotha = Fuvu
Gomora = Gharika
H
Habakuki = Kumbatia
Habili = Uvumi wa upepo. Mbuga
Hagai = Penye sherehe
Hajiri = Kimbia. Uhamaji. Safari
Hamu = Moto. Vuguvugu. Giza. Nyeusi
Hana = Aliyerehemiwa
Har-Magedoni = Mlima wa Har-Magedoni
Harani = Njia. Mtaa
Haruni = Aliyeangaza. Anayeangaa
Hawa = Uhai
Hebroni = Umoja
Henoko = Aliyeolewa. Kuweka wakfu
Hermoni = Patakatifu
Herode = Shujaa. Mungu nusu
Herodia = Shujaa
Hezekia = Mungu ni nguvu yangu
Hidekeli = Tigris = Mkali na anayekwenda kasi. Panapootesha mtende
Horebu = Pakavu. Pasipo na kitu
Hosana = Wokovu. Atoaye afya. Anayetoa maendeleo.
Hosea = Wokovu
Huri = Shimo. Mweupe. Amezaliwa kwa uhuru.
I
Ibrahimu = Baba wa wengi
Imanueli = Mungu pamoja nasi
Isakari = Yeye anatoa ajira. Ananipa mshahara
Isaya = Yahwe anaokoa. Yahwe ni wokovu
Ishmaeli = Mungu anasikia maombi
Iskariote = Mwanamume wa Kerioti. Mtumia kisu
Israeli = Mungu anapigana. Anapigana na Mungu
K
Kadeshi = Patakatifu. Palipowekwa wakfu
Kaini = Aliyepatikana. Mkuki.
Kaisaria = Wa kaisari
Kalebu = Mbwa
Kana = Bomba la tawi
Kapernaumu = Kijiji cha Nahumu
Karmeli = Bustani (ya Mungu)
Kayafa = Bonde dogo. Anayetafsiri ishara
Kefa = Mwamba
Kenkrea = Mji wa mtama
Kerithi = Iliyokatwa
Kishi = Upinde
Kishoni = Iliyojipinda. Iliyo...
Read moreMwaloni Market, under the roof with the giant Balimi ad, is quite a spectacle. The city’s main fish market, it also has lots of fruits and vegetables, most shipped in on small boats from surrounding villages, and there are almost as many marabou storks as vendors. Photography is currently prohibited because some scenes in the controversial documentary film Darwin’s Nightmare (2004)...
Read moreMwaloni Market, under the roof with the giant Balimi ad, is quite a spectacle. The city’s main fish market, it also has lots of fruits and vegetables, most shipped in on small boats from surrounding villages, and there are almost as many marabou storks as vendors. Photography is currently prohibited because some scenes in the controversial documentary film Darwin’s Nightmare (2004)...
Read more